MWALIMU ALEWA CHAKALI!

Ikiwa imesalia siku moja kabla ya kuazimishwa  kwa siku ya wafanyakazi duniani ,Mwalimu mmoja wa shule ya msingi Machang'anja wilayani Ruangwa Mkoani Lindi akutwa akiwa   chakali kwa kinywaji kiasi cha  kushindwa kujitambua na kushindwa hata kupiga hatua! Mwisho wake wasamaria wema walimuondoa kilabuni hapo kwa kutumia mkokoteni kama anavyoonekana hapa pichani!
 
 

Comments

Popular posts from this blog

know about hip hop